Ni lipi neno kuu? Ni maneno yapi yanaosikika kushinda mengine? Ninayaelewa?
Ni nini ninachokijua kuhusu mambo hili? Je, ninajua mambo yanao uhusiano na mambo haya?
Namna gani za habari zitanisaidia? Je, nitategemea asili moja tu (kwa mfano, kitabu cha mafundisho) kwa
kupata habari? Itanibidi nitafute asili nyingine zaidi?
Ninapojifunza, ninajiuliza kama ninaelewa? Nisome kwa upesi au polepole? Kama sielewi, ninajiuliza ni kwa sababu gani?
Je, ninakoma na kufupisha ninayoyasoma? Ninakoma na kujiuliza kama ufupisho wangu ni wenye maana dhahiri? Ninakoma na kuangalia kama ninakubaliana au ni kutopatana?
Ninahitaji wakati wa kufikiria na kulirudia hili
jambo baadaye? Nahitaji kulizungumzia hili jambo na wanafunzi wengine ili nieweze
kuelewa vizuri habari hii? Ninahitaji mjuzi wa habari fulani kama mwalimu au mtunza vitabu? |